Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bw.Mohammed Fakih Mohammed kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Balozi Hussein Said Khatib kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Jaji Mkuu Mstaaf Mhe.Hamid Mahmoud Hamid kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bw.Mabrouk Jabu Makame kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bw.Ali Rajab Juma kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bw.Issa Mohammed Suleiman kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bibi Rukia Mohammed Issa kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali, [Picha na Ikulu.] 24/09/2017.
No comments:
Post a Comment