Menu

Wednesday, September 27, 2017

Wanafunzi Waliosoma Chuo Cha Mwalimu Marehemu Abdallah Chum Jangombe Wakisoma Dua Kumrehemu Mwalimu Wao na Wanafunzi Wenzao Dua Iliofanyika Chuoni Hapo Jangombe Mshelishelini Zanzibar.

Wanafunzi waliosoma Chuo cha Marehemu Abdallah Chum Jangombe wakisoma dua kumuombea mwalimu wao na wanafunzi waliosoma chuo hicho wakisoma hitma kuwarahimu iliofanyika katika maeneo viwanja vya chuo hicho. Dua hiyo imehitimishwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar ni mmoja wa wanafunzi wa marehemu Sheikh Khamis Haji Khamis. 







No comments:

Post a Comment