Wanafunzi waliosoma Chuo cha Marehemu Abdallah Chum Jangombe wakisoma dua kumuombea mwalimu wao na wanafunzi waliosoma chuo hicho wakisoma hitma kuwarahimu iliofanyika katika maeneo viwanja vya chuo hicho. Dua hiyo imehitimishwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar ni mmoja wa wanafunzi wa marehemu Sheikh Khamis Haji Khamis.
EPUKENI KUJIHUSISHA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA WANAFUNZI.
-
Na Issa Mwadangala
Wasafirishaji wa abiria kwa kutumia pikipiki (Bodaboda) kijiwe cha Shingo
feni kilichopo Kijiji cha Lumbila Wilaya ya Mbozi Mkoani Songw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment