Viongozi wa Dini Zanzibar wakifuatilia michango ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakati wakichangia Mswada wa Mahakama ya Kadhi Zanzibar uliosomwa kwa mara ya pili na kuchangiwa kuwa Sheria, wa kwanza Kadhi Dhamana wa Mahakama ya Kadhi Mwanakwerekwe Unguja Sheikh Othman Ame , Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Katiba Sheria na Utawala Bora Simba Kubingwa.
Msajili hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na kampuni ya Uswisi
-
Abidjan. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025,
ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren
Toft, Af...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment