Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege akiruka mkwanja wa beki wa Timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung.Katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.0-0.
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
-
MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeahirisha kesi ya Mwenyekiti wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi itakapopangiwa kikao
kingine (s...
8 hours ago


No comments:
Post a Comment