Habari za Punde

Waziri wa Habari Dkt. Mwakyembe Asisitiza Serikali Kuendeleza Kuboresha Sheria Kanuni na Mikataba ya Tasnia ya Filamu Tanzania.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwasili kwa ajili ya kuzindua Filamu ya BEI KALI jana Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bi. Joyce Fissoo na kulia ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon  Mwakifwamba
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akihojiwa mubashara kupitia televisheni ya Azam jana Jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa Filamu ya BEI KALI. kulia ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo, Kushoto ni muhusika mkuu katika filamu ya BEI KALI Bw. Simon Mwapagata (Rado) na wa pili kushoto ni Rais wa Shirikisho la FilamuTanzania Bw. Simon Mwakifwamba.
Waziri waHabariUtamaduni Sanaa naMichezoMhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akizungumzanamuhusikamkuukatikafilamuya BEI KALI Bw. Simon Mwapagata (Rado) (wapilikushoto) baadayakuzinduanakuangaliasehemuya kwanza yafilamuhiyojanaJijini Dar es Salaam. KulianiKatibuMtendajiBodiyaFilamu Bibi. Joyce FissoonakushotoniRaiswaShirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifwamba
 KatibuMtendajiBodiyafilamu Bibi. Joyce Fissoo (kulia) akizungumzamubasharakupitiatelevisheniyaAzamwakatiwauzinduziwafilamuya BEI KALI janaJijini Dar es Salaam
Pichana:GenofevaMatemu - WHUSM
Waziri waHabariUtamaduni Sanaa naMichezoMhe. Dkt. Harrison Mwakyembe(wapilikushoto) akifuatiliakwamakinifilamuya BEI KALI wakatiwauzinduziwafilamuhiyojanaJijini Dar es Salaam. WapilikulianiKatibuMtendajiBodiyaFilamu Bibi. Joyce FissoonakushotoniRaiswaShirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifwamba.Pichana:GenofevaMatemu - WHUSM

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.