Kikosi cha Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes kilichoitoa kamasi Timu ya Taifa ya Rwanda katika mchezo wa Kombe la Chalenji michuano inayofanyika Nchini Kenya katika uwanja wa Machakosi na kuibuka na ushindi wa Mabao 3 - 1.
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment