Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Menu
▼
Tuesday, January 23, 2018
Maji ya mvua yanavyowasaidia wananchi wa Kokota wilaya ya Wete
WANANCHI wa kisiwa cha
Kokota wilaya ya Wete, wakiwa katika foleni kuteka maji ya mvua ambayo
yamehifadhiwa katika hodhi maalumu, kwa ajili ya matumizi yao, ambapo suala la
maji ya bomba kuwa ni ndoto kupata.(PICHA
NA SAIDI ABRAHMANI, PEMBA).
No comments:
Post a Comment