Meneja wa Mfuko wa Hifadh ya Jamii Zanzibar ZSSF Tawi la Pemba Rashid Mohammed Abdallah (kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 10, Kwa Kamati ya Skuli ya Sekondari Kiwani Kisiwani Pemba, kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa ya Skuli hiyo makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa ZSSF Tibirizi Chakechake Pemba leo.
MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA IMEBORESHA UTUMISHI WA UMMA
NCHINI – MWAIPAYA
-
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, aliyemwakilisha Mkuu wa
Mkoa wa Mtwara, amesema hayo wakati wa hafla ya kuhitimisha mbio za
Utumishi M...
12 minutes ago

0 Comments