Meneja wa Mfuko wa Hifadh ya Jamii Zanzibar ZSSF Tawi la Pemba Rashid Mohammed Abdallah (kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 10, Kwa Kamati ya Skuli ya Sekondari Kiwani Kisiwani Pemba, kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa ya Skuli hiyo makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa ZSSF Tibirizi Chakechake Pemba leo.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
19 hours ago


No comments:
Post a Comment