Mradi wa ufunguzi wa camera katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea ili kuimarisha mindombinu ya usalama katika maeneo ya barabara za Mjini ni na vijiji.kama wanavyoonekana pichani wakiendelea na ufungaji huo.wakiwa katika barabara ya Maisara wakiendelea na zoezi hilo.
SIMBA YAMALIZA MZIZI WA FITNA WA KARIAKOO DERBY
-
*Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii*
*Mtanange wa Watani wa Jadi Yanga na Simba umemalizika kwa Simba kuibuka na
ushindi wa goli 1-0. Mchezo huo ulipigwa leo...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment