Mradi wa ufunguzi wa camera katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea ili kuimarisha mindombinu ya usalama katika maeneo ya barabara za Mjini ni na vijiji.kama wanavyoonekana pichani wakiendelea na ufungaji huo.wakiwa katika barabara ya Maisara wakiendelea na zoezi hilo.
NGUMI NUSU FAINAL KLABU BINGWA TAIFA NI PATA SHIKA, NGUO KUCHANIKA
-
▫️Nusu fainali ya kwanza kufanyika usiku wa leo kwa mapambano 14
▫️Magereza warudi kwa kishindo msimu huu
18-09-2025, Tanga.
MASHINDANO ya ngumi Klabu Bin...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment