Mradi wa ufunguzi wa camera katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea ili kuimarisha mindombinu ya usalama katika maeneo ya barabara za Mjini ni na vijiji.kama wanavyoonekana pichani wakiendelea na ufungaji huo.wakiwa katika barabara ya Maisara wakiendelea na zoezi hilo.
MWENYEKITI CCM KATA YA PICHA YA NDEGE AMPA 'TANO' RAIS DKT. SAMIA KUTENGA
FEDHA ZA KUCHOCHEA MAENDELEO
-
VICTOR MASANGU, KIBAHA
Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi (CCM) Kata ya picha ya ndege Grace
Jungulu amempongeza kwa dhati Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia ...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment