Mradi wa ufunguzi wa camera katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea ili kuimarisha mindombinu ya usalama katika maeneo ya barabara za Mjini ni na vijiji.kama wanavyoonekana pichani wakiendelea na ufungaji huo.wakiwa katika barabara ya Maisara wakiendelea na zoezi hilo.
MADEREVA VIP POLISI WATAKIWA KUIMARISHA ULINZI, KUEPUKA AJALI
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Madereva wa viongozi mashuhuri (VIP) wa Jeshi la Polisi wametakiwa kuweka
mbele jukumu lao la msingi la kulinda maisha y...
7 hours ago


0 Comments