Mradi wa ufunguzi wa camera katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea ili kuimarisha mindombinu ya usalama katika maeneo ya barabara za Mjini ni na vijiji.kama wanavyoonekana pichani wakiendelea na ufungaji huo.wakiwa katika barabara ya Maisara wakiendelea na zoezi hilo.
ULEGA KUZINDUA RASMI KAMPENI ZA CCM UCHAGUZI MKUU 2025 MWANDEGE WILAYA YA
MKURANGA LEO.
-
Mgiombea Ubunge wa viti maalum mkoa wa Pwani. Bi. Mariam Abdallah Ibrahim .
Ameungana na wanawake wa wialaya ya Mkungara kufagia uwanja leo kwajili ya...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment