Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Menu
▼
Sunday, May 6, 2018
Mchezo wa Ligi ya Kuu Daraja la Kwanza Taifa Kati ya Kizimkazi na Villa United Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Villa United Imeshinda Bao 1-0.
Mshambuliaji wa Timu ya Villa United FC. Mohammed Mussa akimpita beki wa Timu ya Kizimkazi wakati wa mchezo wao wa Ligi Daraja la Kwanza Taifa uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Villa United FC (Mpira Pesa ) imeshinda kwa bao 1-0.
No comments:
Post a Comment