Mshambuliaji wa Timu ya Villa United FC. Mohammed Mussa akimpita beki wa Timu ya Kizimkazi wakati wa mchezo wao wa Ligi Daraja la Kwanza Taifa uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Villa United FC (Mpira Pesa ) imeshinda kwa bao 1-0.
MRADI WA AFYA HATUA WACHANGIA KUSHUKA KWA VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA VVU
MKOANI KIGOMA
-
Mratibu wa UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Via vya Uzazi na Homa ya Ini Mkoa
wa Kigoma, Dkt. Hosea William akielezea namna Serikali na THPS
wanavyoshirikiana...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment