Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe. Majalio Paul Kyara. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Satia Mussa Bebwa (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 13, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. Kualia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndg. Ramadhan Kailima. (Picha na INEC).
DC KILWA AFANYA ZIARA SONGOSONGO, APONGEZA TPDC KWA MIRADI YA KIJAMII
-
Agosti 13, 2025
Songosongo, Lindi – Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mhe. Mohamed Abdallah Nyundo,
amefanya ziara ya kutembelea miundombinu ya bomba la gesi asilia...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment