MDHAMINI wa Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibarleo Ofisi ya Pemba,Ndg. Bakari Mussa Juma, akizungumza na Watendaji Wakuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ujumbe huo ukiongozwa na Katibu Mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga wakimsikiliza Afisa hiyo akitowa maelezo wakati walipotembelea Afisi za Gazeti hilo la Zanzibar Leo kisiwani Pemba wakati wa ziara yao.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla Azungumza na
Wananchi wa Muhugoni - KIWANI
-
Mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiwani ndugu Hemed Suleiman Abdulla amesema
yeye na wenzake wanayo adhma ya dhati ya kuwatumikia wananchi wote wa jimbo
hi...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment