MDHAMINI wa Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibarleo Ofisi ya Pemba,Ndg. Bakari Mussa Juma, akizungumza na Watendaji Wakuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ujumbe huo ukiongozwa na Katibu Mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga wakimsikiliza Afisa hiyo akitowa maelezo wakati walipotembelea Afisi za Gazeti hilo la Zanzibar Leo kisiwani Pemba wakati wa ziara yao.
IFM YATAKIWA KUTENGENEZA MASHIRIKIANO NA WADAU SEKTA YA ELIMU KWA MASLAHI
YA TAIFA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Dkt Hatib Kazungu ametoa Rai kwa Uongozi wa
Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM)Tawi la Dodom...
1 hour ago
0 Comments