MDHAMINI wa Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibarleo Ofisi ya Pemba,Ndg. Bakari Mussa Juma, akizungumza na Watendaji Wakuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ujumbe huo ukiongozwa na Katibu Mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga wakimsikiliza Afisa hiyo akitowa maelezo wakati walipotembelea Afisi za Gazeti hilo la Zanzibar Leo kisiwani Pemba wakati wa ziara yao.
Peace Solution Tanzania Yajipanga Kulinda Amani ya Taifa
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Taasisi ya Peace Solution Tanzania (PST) imeendesha mafunzo kwa maofisa
wake jijini Dar es Salaam leo, Septemba 13, 2025, k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment