Baadhi ya Boti za kusafirishia Watalii kutembelea sehemu za Historia ya Zanzibar katika Visiwa vya Bawe, Prison na mafungua ya mchanga bahari zikiwa katika eneo la ufukwe wa pwani ya Forodha Mchanga wakisubiri wateja wao.
UZINDUZI WA KITABU CHA WATOTO: KUZUIA UTORO SHULENI
-
Dar es Salaam, 18 Julai 2025
Mwandishi wa vitabu vya kuelimisha watoto, Bi. Riziki Mohamed Juma,
amezindua rasmi kitabu chake kipya kiitwacho “Saburi” kat...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment