Baadhi ya Boti za kusafirishia Watalii kutembelea sehemu za Historia ya Zanzibar katika Visiwa vya Bawe, Prison na mafungua ya mchanga bahari zikiwa katika eneo la ufukwe wa pwani ya Forodha Mchanga wakisubiri wateja wao.
BARABARA KOROFI YA MABOGINI - KAHE KUJENGWA KWA LAMI- MHE MCHENGERWA
-
Na John Mapepele -Moshi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo
amekagua uharibifu wa barabara ya Spencon- Fongagate- Mabogi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment