Mabingwa wa Kombe la Sport Pesa Mwaka 2018 Timu Gor Mahia wakishangilia ubingwa wao baada ya kushinda mchezo wao wa Fainali na Timu ya Simba ya Tanzania Mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Nakuru Nchini Kenya.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Amtakia
Heri ya Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa kwa Mzee Malecela
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela
zawadi ya kikombe alipokwenda nyumbani kwa Mheshimiwa Malecela eneo la
Uzung...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment