Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kati,Diwani wa wadi ya Bungi , ambae pia ni mgeni rasmin katika maonesho ya Soko la wazi la Wajasiri amali wa Wilaya ya Kati ndugu Said Mtaji Askari akiangalia bidhaa mbali mbali kwa wajasiri amali hao; pichani akiwa amevalia suti nyeusi na shati la manjano huko katika kiwanja cha Wilayani Dunga Mkoa wa Kusini Unguja,September 1;2018.
UBIA WA TWIGA WAONESHA ATHARI CHANYA ZA KIMAGEUZI ZA UCHIMBAJI MADINI NCHINI, YASEMA BARRICK
-
Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick,Mark Bristow, akizindua Kamati mpya
ya Maendeleo ya Jamii (CDC) ya Halmashauri ya wilaya ya Tarime ambayo kwa
sas...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment