Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kati,Diwani wa wadi ya Bungi , ambae pia ni mgeni rasmin katika maonesho ya Soko la wazi la Wajasiri amali wa Wilaya ya Kati ndugu Said Mtaji Askari akiangalia bidhaa mbali mbali kwa wajasiri amali hao; pichani akiwa amevalia suti nyeusi na shati la manjano huko katika kiwanja cha Wilayani Dunga Mkoa wa Kusini Unguja,September 1;2018.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment