Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kati,Diwani wa wadi ya Bungi , ambae pia ni mgeni rasmin katika maonesho ya Soko la wazi la Wajasiri amali wa Wilaya ya Kati ndugu Said Mtaji Askari akiangalia bidhaa mbali mbali kwa wajasiri amali hao; pichani akiwa amevalia suti nyeusi na shati la manjano huko katika kiwanja cha Wilayani Dunga Mkoa wa Kusini Unguja,September 1;2018.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment