Mshambuliaji wa Timu ya Simba akijaribu kuwapita mabeki wa Timu ya KMKM katika mchezo wa Kuwania Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar,jana usiku Timu ya Simba imeshinda mchezo huo.
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha
askari ...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment