Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli na
mwenyeji wake Prof. Arthur Peter Mutharika wakiwasalimia baadhi ya wananchi
waliojitokeza katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe
nchini Malawi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
mwenyeji wake Rais wa Malawi Prof.
Arthur Peter Mutharika, Mama Janeth Magufuli pamoja na Prof. Gertrude
Mutharika kabla ya kuweka mashada ya
maua katika kaburi la Rais wa Tatu wa Malawi, Prof. Bingu Mutharika,katika eneo
la Bunge la Malawi Lilongwe nchini Malawi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja
na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwa wameshika mashada ya maua tayari kuyaweka
katika kaburi la Rais wa Tatu wa Malawi, Prof. Bingu Mutharika,katika eneo la
Bunge la Malawi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja
na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakiweka mashada ya maua katika kaburi la Rais wa
Tatu wa Malawi, Prof. Bingu Mutharika,katika eneo la Bunge la Malawi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja
na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakisali mara baada ya kuweka mashada ya maua
katika kaburi la Rais wa Tatu wa Malawi, Prof. Bingu Mutharika,katika eneo la
Bunge la Malawi.
Kaburi la Rais wa Tatu wa Malawi Hayati Prof.
Bingu Mutharika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha wageni mara baada ya
kuwasili katika Uwanja wa Bunge Malawi (nyuma yake ni mkewe Mama Janeth
Magufuli akishuhudia) April 24, 2019.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment