Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Adolf
Ndunguru kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango (Sera) Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Msafiri
Mbibo kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango (Sera) Adolf Ndunguru akiwa pamoja na
Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wakila Kiapo cha
Uadilifu Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kuwaapisha
viongozi hao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kuwaapisha
viongozi hao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya kumbukumbu na Makamu
wa Rais Samia Suluhu Hassan, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi wa John Kijazi, Naibu
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji wakwanza kushoto Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango (Sera) Adolf Ndunguru wapili kutoka kulia Naibu Kamishna Mkuu wa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Msafiri Mbibo wapili kutoka kushoto mara baada
ya tukio la uapisho Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment