Mwakilishi wa Jimbo la Mwera Zanzibar Mhe. Mihayo N'hunga,akiabidha Matofali 1000,kwa Kikundi cha Atubaguani Mwera kumalizia ujenzi na kumalizia Jengo lao kuweza kufanya shughuli zao bila ya buhudha, hafla hiyo imefanyika katika jengo hilo.
TASAC YATOA MAFUNZO KWA WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI MAJINI
-
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) jana tarehe 16 Septemba, 2025
lilifanya mafunzo ya usalama na utunzaji wa mazingira majini kwa wadau wa
usaf...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment