Mwakilishi wa Jimbo la Mwera Zanzibar Mhe. Mihayo N'hunga,akiabidha Matofali 1000,kwa Kikundi cha Atubaguani Mwera kumalizia ujenzi na kumalizia Jengo lao kuweza kufanya shughuli zao bila ya buhudha, hafla hiyo imefanyika katika jengo hilo.
MUNGU ANAVYOMPA KIBALI NAIBU SPIKA DANIEL SILLO KUONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA
TAASISI ZA DINI
-
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo
la Babati Vijijini, Daniel Sillo, akizungumza wakati akiongoza harambee ya
kuc...
33 minutes ago




0 Comments