Habari za Punde

MASAUNI AFUNGA SEMINA YA USALAMA WA MATAIRI NA MFUMO WA BREKI ILIYOTOLEWA KWA ASKARI WA USAMALA BARABARANI, VETA, SUMATRA, NIT NA TBS

Naibu  Waziri  wa  Mambo ya  Ndani  ya  Nchi  ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza wakati wa kufunga Semina ya Usalama wa Matairi na Mfumo wa Breki iliyotolewa kwa askari wa usalama barabarani na wadau wengine kutoka taasisi zinahusiana na usalama barabarani,lengo ikiwa kudhibiti ajali za barabarani zinazosababishwa na uchakavu wa vipuri kwenye vyombo vya moto, semina hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam. 

Washiriki wa Semina ya Usalama wa Matairi na Mfumo wa Breki iliyotolewa kwa askari wa usalama barabarani na wadau wengine kutoka taasisi zinahusiana na usalama barabarani, wakimsikiliza Naibu  Waziri  wa Mambo ya  Ndani  ya  Nchi  ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni wakati akifunga semina hiyo iliyokuwa na  lengo la  kudhibiti ajali za barabarani zinazosababishwa na  uchakavu wa vipuri kwenye vyombo vya moto,semina hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa Semina ya Usalama wa Matairi na Mfumo wa Breki iliyotolewa kwa askari wa usalama barabarani na wadau wengine kutoka taasisi zinahusiana na usalama barabarani, wakimsikiliza Naibu  Waziri  wa  Mambo ya  Ndani  ya  Nchi  ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni wakati akifunga semina hiyo iliyokuwa na  lengo la  kudhibiti ajali za barabarani zinazosababishwa na uchakavu wa  vipuri kwenye vyombo vya moto,semina hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam
Naibu  Waziri  wa  Mambo ya  Ndani  ya  Nchi  ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Matairi ya Michelini,Marc Pasquet(kushoto), alipowasili kufunga Semina ya Usalama wa Matairi na Mfumo wa Breki iliyotolewa kwa askari wa usalama barabarani na wadau wengine kutoka taasisi zinahusiana na usalama barabarani,lengo ikiwa kudhibiti ajali za barabarani zinazosababishwa na uchakavu wa vipuri kwenye vyombo vya moto, semina hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam
Naibu  Waziri  wa  Mambo ya  Ndani  ya  Nchi  ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni (watano kulia),Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Matairi ya Superdoll, Seif A. Seif(wasita kulia) na  Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Matairi ya Michelini,Marc Pasquet(wasaba kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Semina ya Usalama wa Matairi na Mfumo wa Breki iliyotolewa kwa askari wa usalama barabarani na wadau wengine kutoka taasisi zinahusiana na usalama barabarani,lengo ikiwa kudhibiti ajali za barabarani zinazosababishwa na uchakavu wa  vipuri kwenye vyombo vya moto, semina hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.