LICHA ya baraza la mji Mkoani kudai kuwa ujenzi wa sehemu iliyokatika katika daraja la Kisiwa Panza utaanza ndani ya wiki iliyomalizika, picha bado ujenzi huo haujaanza kama ilivyosemwa na wananchi wanapita kwenye mabao walioweka kwa dhararu.(PICHA KWA HISANI YA JUMUIYA YA JISEUMA)
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment