LICHA ya baraza la mji Mkoani kudai kuwa ujenzi wa sehemu iliyokatika katika daraja la Kisiwa Panza utaanza ndani ya wiki iliyomalizika, picha bado ujenzi huo haujaanza kama ilivyosemwa na wananchi wanapita kwenye mabao walioweka kwa dhararu.(PICHA KWA HISANI YA JUMUIYA YA JISEUMA)
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment