LICHA ya baraza la mji Mkoani kudai kuwa ujenzi wa sehemu iliyokatika katika daraja la Kisiwa Panza utaanza ndani ya wiki iliyomalizika, picha bado ujenzi huo haujaanza kama ilivyosemwa na wananchi wanapita kwenye mabao walioweka kwa dhararu.(PICHA KWA HISANI YA JUMUIYA YA JISEUMA)
NMB yafadhili ziara ya kibiashara ya wajasiriamali 28 nchini China
-
Na Mwandishi Wetu
Benki ya NMB imefadhili ziara ya kibiashara ya wafanyabiashara 28, ambayo
inalenga kuwapa uzoefu wa moja kwa moja wa masoko ya China...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment