LICHA ya baraza la mji Mkoani kudai kuwa ujenzi wa sehemu iliyokatika katika daraja la Kisiwa Panza utaanza ndani ya wiki iliyomalizika, picha bado ujenzi huo haujaanza kama ilivyosemwa na wananchi wanapita kwenye mabao walioweka kwa dhararu.(PICHA KWA HISANI YA JUMUIYA YA JISEUMA)
WALEMAVU WA MACHO WAPEWE FURSA KAMA WATU WENGINE
-
Na Linda Akyoo -Moshi
Mratibu wa Chama cha Wasioona Tanzania kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi
Ajira vijana na wenye ulemavu Kizito Lucas Wambura,amefanya u...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment