KamishnawaBodiyaMapato Zanzibar (ZRB) Joseph Abdallah Meza kifunguamafunzoyasikutanoyaku wajengeauwezowafanyakaziwapyaw a ZRB, mafunzohayoyamefanyikaOfisizaM takwimuMaziziniMjini Zanzibar.
Mgeni rasmin Kamishna wa Bodi ya Mapa to Zanzibar (ZRB) Ndg.Joseph Abdallah Meza (katikati) akipokea maswali kwa wafanyakazi wake Kulia Afisa Mahusiano wa ZRB Makame Khamis Muh’ d na kushoto ni Mkurugenzi rasilima li watu na uendeshaji Ndg.Mohamed Amour Mohamed.
Bi.Asma Khamis Hassan ICT Officer ZRB ni miongoni mwa wafanyakazi wapyaa kiuliza swali wakati wa mafunzo hay o.
Wafanyakazi wapya wa ZRB wakisikiliza kwa makini hutuba ya u funguzi iliyotolewa na Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Ndg.Joseph Abdallah Meza (hayu popichani).
PichanaMakameMshenga.
No comments:
Post a Comment