Muenekano la daraja la kibondemzungu barabara ya fuoni baada kukamilika ujenzi wake kwa kuwekwa lami na makalafati ili kuweza kupitwa kwa wakati wote wa mvua za masika na vuli, kwa sasa daraja hilo limaliziwa ujenzi wake kwa kuwekwa vizuizi.
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
2 hours ago
0 Comments