Muenekano la daraja la kibondemzungu barabara ya fuoni baada kukamilika ujenzi wake kwa kuwekwa lami na makalafati ili kuweza kupitwa kwa wakati wote wa mvua za masika na vuli, kwa sasa daraja hilo limaliziwa ujenzi wake kwa kuwekwa vizuizi.
Tanzania yahimiza Matumizi ya AI Kuimarisha Mtangamano na Maendeleo EAC
-
JAMHURI ya Muungano wa Tanzania imesisitiza matumizi ya Akili Unde
(Artificial Inteligence – AI) ikiwa ni moja ya nyenzo muhimu na ya kisasa
katika kuku...
1 hour ago
0 Comments