Muenekano la daraja la kibondemzungu barabara ya fuoni baada kukamilika ujenzi wake kwa kuwekwa lami na makalafati ili kuweza kupitwa kwa wakati wote wa mvua za masika na vuli, kwa sasa daraja hilo limaliziwa ujenzi wake kwa kuwekwa vizuizi.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment