Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu Daraja la Kwanza Kati ya Mundu na Ngome Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mundu Imeshinda Mchezo Huo Bao.1-0.

 
Mshambuliaji wa Timu ya Mundu akijaribu kumpita beki wa Timu ya Ngome wakati wa mchezo wao wa Ligi Daraja la Kwanza uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Mundu imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.



















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.