Mshambuliaji wa Timu ya Mundu akijaribu kumpita beki wa Timu ya Ngome wakati wa mchezo wao wa Ligi Daraja la Kwanza uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Mundu imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefungua Jengo la Skuli ya Sekondani Kiwani Wilaya ya Mkoani Pemba Ikiwa
ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
-
Muonekano wa Jengo Jipya la Skuli ya Sekondari Kiwani lililojengwa na
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na kufunguliwa leo 23-4-2024 na Rais wa
Zanzibar na ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment