Wapenzi wa mchezo wa mpira Visiwani Zanzibar wakifuatili mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Kati ya Malindi na Mlandege mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
Viongozi wa Dini Watoboa Siri: Ndoa za Utotoni Zazidi Kushamiri Vijijini
Licha ya Sheria
-
Dar es Salaam, Machi 28, 2026 — Viongozi wa dini nchini wameeleza wasiwasi
wao kuhusu kuendelea kwa ndoa za utotoni, wakibainisha kuwa changamoto ya
uelewa...
9 hours ago
0 Comments