Mchezaji wa Timu ya Stone Town akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya Beitras wakati wa mchezo wa Kombe la Karume Cupuliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar.
TANZANIA YANG’ARA KIMATAIFA KWA USIMAMIZI BORA WA DENI LA SERIKALI
-
Na Joseph Mahumi, WF
Serikali ya Tanzania imeendelea kung’ara katika jukwaa la kimataifa baada
ya kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka katika Tuzo za Usima...
6 minutes ago
0 Comments