Mchezaji wa Timu ya Stone Town akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya Beitras wakati wa mchezo wa Kombe la Karume Cupuliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar.
vituo vya Afya vinavyoendelea kujengwa katika Visiwa vya Unguja na Pemba
vitasaidia kuimarisha huduma za Afya -Mazrui
-
Na.Omar Abdallah -Wizara ya Afya.
WAZIRI wa Afya Zanzibar *Nassor Ahmed Mazrui* amesema vituo vya Afya
vinavyoendelea kujengwa katika Visiwa vya Unguja ...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment