Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Dkt. Elibariki Parsalam kuhusu utengenezaji wa chakula cha kuku wakati alipotembelea banda la kampuni ya Hill Feeds katika Kongamano la Uwekezaji Mkoa wa Pwani alilolifungua kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo wakitazama malighafi ya Pazolana inayotumika kutengeneza Saruji wakati Waziri Mkuu alipotembelea banda la kampuni ya saruji ya Tanga katika Kongamano la Uwekezaji Mkoa wa Pwani lililofunguliwa na Waziri Mkuu kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani mjini Kibaha, Oktoba 19, 2019. Wa pili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Uwekezaji), Angela Kairuki na kushoto ni Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Mhandisi Benedict Lema
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Kongamano la Uwekezaji Mkoa wa Pwani kwenye ukumbi wa Mkuu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani mjini Kibaha,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mwongozo wa uwekezaji Mkoani Pwani katika Kongamano la Uwekezaji Mkoani Pwani alilolifungua kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mjini Kibaha, Oktoba 19, 2019. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angela Kairuki na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mwongozo wa uwekezaji Mkoani Pwani katika Kongamano la Uwekezaji Mkoani Pwani alilolifungua kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mjini Kibaha, Oktoba 19, 2019. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angela Kairuki na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha Mwongozo wa uwekezaji Mkoani Pwani baada ya kuuzindua katika Kongamano la Uwekezaji Mkoa wa Pwani alilolifungua kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mjini Kibaha, Oktoba 19, 2019. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angela Kairuki na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo.
Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Uwekezaji Mkoa wa Pwani wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua Kongamano hilo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani mjini Kibaha, Oktoba 19, 2019.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment