Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini" B" Unguja Ndg.Rajab Ali Rajab akifungua michuani ya Ligi ya Muungano Mpira wa Netiboli uliofanyika katika Uwanja wa Gymkhana Zanzibar Kati ya Timu ya JKU na Jeshi Star
Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini "B" Unguja Ndg. Rajab Ali Rajab akiwasalimia wachezaji wa Timu ya JKU wakati wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Muungano mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana Zanzibar.
Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini "B" Unguja Ndg. Rajab Ali Rajab akiwasalimia wachezaji wa Timu ya Jeshi Star wakati wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Muungano mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana Zanzibar.
No comments:
Post a Comment