Muonekano wa jengo la Maduka ya Kisasa katika eneo la michenzani (makontena) likiwa katika ujenzi wake huo katika hatua za mwisho za umalizaji wake kama linavyoonekana pichani likiwa katika hatua kubwa ya ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya Ujenzi ya Kichina.
TUME YA HAKI ZA BINADAMU (THBUB) YAWATAKA WANASIASA KUWEKA MBELE MASLAHI YA
WATU
-
KAMISHNA wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ofisi ya
Zanzibar, Mhe. Khatib Mwinyichande, amewasihi wanasiasa kuzingatia zaidi na
kuweka...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment