Habari za Punde

Tukumbuke Tulikotoka Katika Matumizi ya Chano na Ndoo za Chuma


Tukumboke tulikota katika matumizi ya Vitu vya asili kama hivi ndoo na chano cha kufulia nguo si aghrabu kuvikuta vitu hivi katika majumba yetu wakati huu. 
 Unaweza kubahatika kuviona katika makumbusho na kwa baadhi ya Wazee katika maeneo ya shamba (VIJIJINI) vikiwa vimeweka  na tayari viko katika hali ya kuharibika kutokana na uhifadhi wake na kutokutumika tena.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.