Habari za Punde

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA ATIA SAINI KITABU CHA KUMBUKUMBU YA MAOMBOLEZO KIFO CHA MFALME Qaboos wa Oman

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisaini  kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Mfalme wa Oman Hayat Qaboos bin Said  katika Ofisi ya Ubalozi wa Oman Mikocheni Jijini Dar es salaam leo Januari 16,2020. kulia Balozi wa Oman Nchini Mhe. Ali Bin Almahroqi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe. Ali Almahroqi kwenye Ofisi ya Ubalozi wa Oman Mikocheni Jijini Dar es salaam Januari 16,2020 alopofika katika Ofisi hiyo kwa ajili ya kusaini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Mfalme wa Oman Hayat Qaboos bin Said
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kumfariji Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe. Ali Almahroqi alipofika katika Ofisi ya Ubalozi wa Oman Mikocheni Jijini Dar es salaam leo Januari 16,2020 kwa ajili ya kusaini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Mfalme wa Oman Hayat Qaboos bin Said.  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.