Kikundi cha Sarakasi kutoka kikosi cha KVZ Zanzibar, wakionyesha umahiri wao wa kucheza sarakasi wakati wa sherehe za uwekaji wajiwe la msingi Ofisi ya KVZ Pemba, ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi Matukufu Zaznibar.
Kijana wa kikundi cha KVZ akionesha umahiri wa mtindo wa kucheza na nyoka aina ya chatu wakati wa sherehe za uwekaji wajiwe la msingi Ofisi ya KVZ Pemba, ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi Matukufu Zaznibar
.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
No comments:
Post a Comment