RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein ,
akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam
katika Sala ya kuuombea Mwili wa Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa Msaidizi
wa Rais Hutuba , Sala hiyo imefanyika katika Masjid Jamiu Zinjbar
Mazizini(kushoto kwa Rais) Rais Mstaaf
wa Zanzibar Mhe.Dkt. Amani Karume na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh Saleh Omar Kabi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif
Ali Iddi
Rais wa Zanzibaer na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Waumini wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua ikisomwa na Sheikh.Muhiddin Ahmad (Maalim Siasa) baada ya Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Ali Salim Hafidh aliyekuwa Msaidizi wa Rais Hutuba. iliofanyika katika Masjid Jamiu Zinjbar Mazizi Unguja leo.14-2-2020.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka
mchanga katika kaburi la Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa Msaidi wa Rais
Hutuba , maziko hayo yamefanyika katika makaburi ya family Fuoni Mambosasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein ,
(kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi
na (kulia kwa Rais) Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dkt. Amani Karume, wakiitikia
dua ya kuuombea Mwili wa Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa Msaidi wa Rais
hutuba
Wananchi na Ndugu na Jamaa wa marehemu wakiitikia dua ya kumuombea wakati wa hafla ya maziko hayo yaliofanyika katika makaburi ya familia Fuoni Mambosasa Wilaya ya Magharibi "B" Unguja leo.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akitowa mkono wa pole kwa Wanafamilia ya Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa
Msaidizi wa Rais hutuba, yaliofanyika katika makaburi ya familia Fuoni
Mambosasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
No comments:
Post a Comment