Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Azungumza na Naibu Waziri wa Habari na Naibu Waziri wa Maliasili Uongozi wa Wizara Hizo Jijini Dodoma.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akutana kwa mazungumzo na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Viongozi wa Chama cha Muziki wa Rhumba Tanzania (HAMURATA), katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akutana kwa mazungumzo na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Viongozi wa Chama cha Muziki wa Rhumba Tanzania (HAMURATA), katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma Februari 8, 2020.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.