Habari za Punde

Kisomo Cha Hitma Kumsomea Marehemu Ramadhan Haji Faki Kabla ya Kuusalia Mwili wa Marehemu Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja leo.

Sheikh Mziwanda akihitimisha Kisoma cha Hitma kumuombea Marehe Ramadha Haji Faki kilichofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjiniu Unguja leo kabla ya kuusalia mwili wa Marehemu kwa ajili ya maziko yaliofanyika Kijiji kwao Mkoa wa Kaskazini Unguja.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.