Sheikh Mziwanda akihitimisha Kisoma cha Hitma kumuombea Marehe Ramadha Haji Faki kilichofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjiniu Unguja leo kabla ya kuusalia mwili wa Marehemu kwa ajili ya maziko yaliofanyika Kijiji kwao Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Mradi wa CookFund unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) na kutekelezwa na
UNCDF waleta Mageuzi ya matumizi ya Nishati katika taasisi za umma.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Zaidi ya wanafunzi 62,000 kote Tanzania sasa wananufaika na majiko salama
na safi zaidi kufuatia usakinishaji wa zaidi ya majiko...
8 hours ago
0 Comments