Sheikh Mziwanda akihitimisha Kisoma cha Hitma kumuombea Marehe Ramadha Haji Faki kilichofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjiniu Unguja leo kabla ya kuusalia mwili wa Marehemu kwa ajili ya maziko yaliofanyika Kijiji kwao Mkoa wa Kaskazini Unguja.
PPAA YAWAPA CHANGAMOTO WAZABUNI KUSHIRIKI MAFUNZO YA MODULI
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Katika jitihada za kuhakikisha kuwa Serikali inapata thamani halisi ya
fedha katika miradi yake, Mamlaka ya Rufani ya Zabuni z...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment