Sheikh Mziwanda akihitimisha Kisoma cha Hitma kumuombea Marehe Ramadha Haji Faki kilichofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjiniu Unguja leo kabla ya kuusalia mwili wa Marehemu kwa ajili ya maziko yaliofanyika Kijiji kwao Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment