Sheikh Mziwanda akihitimisha Kisoma cha Hitma kumuombea Marehe Ramadha Haji Faki kilichofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjiniu Unguja leo kabla ya kuusalia mwili wa Marehemu kwa ajili ya maziko yaliofanyika Kijiji kwao Mkoa wa Kaskazini Unguja.
WAPELEKENI WATOTO SHULE ZENYE MIUNDOMBINU RAFIKI YA KUSOMEA.
-
Wazazi na walezi,wameshauriwa kuwasomesha watoto wao kwenye shule zenye
miundombinu bora ya elimu ambayo itasaidia watoto wao kupata elimu bora
itakayowasa...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment