Habari za Punde

Kombe la Mapinduzi Kuboreshwa ili Liwe na Sura ya Muungano

Mawaziri wa Sekta za Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambao ni Mhe.Mahmoud Thabiti Kombo (katikati),Mhe.Harrison Mwakyembe (kushoto) na kulia  Mhe.Balozi Ally Abeid Karume wakisaini taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya kikao cha maeneo ya ushirikiano kati ya Serikali hizo kilichofanyika mwezi julai 2019 jijini Dodoma,Taarifa hiyo wameisaini visiwani Zanzibar machi 04,2020.Wanaoshuhudia ni Manaibu mawaziri pamoja na Makatibu Wakuu wa sekta hizo.
Mhe.Mahmoud Thabiti Kombo Waziri wa Habari,Utalii na Mambo ya kale SMZ (katikati) akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa katika  kikao cha mawaziri kilichofanyika julai,2019 jijini Dodoma pamoja na mapendekezo ya maeneo mapya ya ushirikiano baina ya Wizara zenye dhamana ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo SMT na SMZ kilichofanyika Zanzibar machi 04,2020.Kushoto ni Mhe Harrison Mwakyembe Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo (SMT) na kulia ni Mhe.Balozi Ally Abeid Karume Waziri wa Vijana, Utamaduni,Sanaa na Michezo (SMT).
Mhe.Juliana Shonza Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo akichangia mjadala katika kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa katika kikao cha Mawaziri kilichofanyika tarehe 02,julai 2019 jijini Dodoma pamoja na mapendekezo ya maeneo mapya ya ushirikiano baina ya Wizara zenye dhamana ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo SMT na SMZ kilichofanyika Zanzibar
Mhe.Chum Kombo Hamis Naibu Waziri Habari,Utamaduni na Mambo ya kale akichangia mjadala katika kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa katika kikao cha Mawaziri kilichofanyika tarehe 02,julai 2019 jijini Dodoma pamoja na mapendekezo ya maeneo mapya ya ushirikiano baina ya Wizara zenye dhamana ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo SMT na SMZ kilichofanyika Zanzibar
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa katika kikao cha Mawaziri kilichofanyika tarehe 02,julai 2019 jijini Dodoma pamoja na mapendekezo ya maeneo mapya ya ushirikiano baina ya Wizara zenye dhamana ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo SMT na SMZ kilichofanyika Zanzibar
Mhe.Mahmoud Thabiti Kombo Waziri wa Habari,Utalii na Mambo ya kale SMZ (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na sekretarirti ya mandalizi ya kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa katika  kikao cha mawaziri kilichofanyika julai,2019 jijini Dodoma pamoja na mapendekezo ya maeneo mapya ya ushirikiano baina ya Wizara zenye dhamana ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo SMT na SMZ kilichofanyika Zanzibar machi 04,2020.Kushoto ni Mhe Harrison Mwakyembe Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo (SMT) na kulia ni Mhe.Balozi Ally Abeid Karume Waziri wa Vijana, Utamaduni,Sanaa na Michezo (SMT).


Mhe.Mahmoud Thabiti Kombo Waziri wa Habari,Utalii na Mambo ya kale SMZ (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Idara naTaasisi za SMT na SMZ mara baada ya  kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa katika  kikao cha mawaziri kilichofanyika julai,2019 jijini Dodoma pamoja na mapendekezo ya maeneo mapya ya ushirikiano baina ya Wizara zenye dhamana ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo SMT na SMZ kilichofanyika Zanzibar machi 04,2020.Kushoto ni Mhe Harrison Mwakyembe Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo (SMT) na kulia ni Mhe.Balozi Ally Abeid Karume Waziri wa Vijana, Utamaduni,Sanaa na Michezo (SMT).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.