Mchezaji wa Timu ya Nyuki akiwa na mpira akijaribu kumpita mchezaji wa Timu ya Polisi katika mchezo wa Ligi Kuu Mpira wa Kikapu uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Polishi imeibuka mshindi katika mchezo huo kwa kuifunga Timu ya Nyuki kwa Vikapu 75 - 54.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment