Mchezaji wa Timu ya Nyuki akiwa na mpira akijaribu kumpita mchezaji wa Timu ya Polisi katika mchezo wa Ligi Kuu Mpira wa Kikapu uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Polishi imeibuka mshindi katika mchezo huo kwa kuifunga Timu ya Nyuki kwa Vikapu 75 - 54.
MZIKI WA DKT.AGNES GIDNA WAIKUNA KAMATI YA BUNGE.
-
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imempongeza Afisa
Uhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Agnes Gidna kutokana
na ...
12 minutes ago
0 Comments