Mchezaji wa Timu ya Nyuki akiwa na mpira akijaribu kumpita mchezaji wa Timu ya Polisi katika mchezo wa Ligi Kuu Mpira wa Kikapu uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Polishi imeibuka mshindi katika mchezo huo kwa kuifunga Timu ya Nyuki kwa Vikapu 75 - 54.
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment