Mchezaji wa Timu ya Nyuki akiwa na mpira akijaribu kumpita mchezaji wa Timu ya Polisi katika mchezo wa Ligi Kuu Mpira wa Kikapu uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Polishi imeibuka mshindi katika mchezo huo kwa kuifunga Timu ya Nyuki kwa Vikapu 75 - 54.
Kampuni ya Kamal sasa kutengeneza wajasiriamali wa kubangua korosho nchini
-
* Kampuni ya Kamal imekuja na mbinu mpya ya uwezeshaji ambayo utawaendeleza
wajasiriamali wakitanzania katika kubangua korosho.*
*Kwa kupitia kampuni yak...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment