Habari za Punde

Mchezo wa Ligu Kuu Mpira wa Kikapu Zanzibar Kati ya Nyuki na Usolo Magic Mchezo Uliuofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Nyuki Imeshinda Kwa Vikapu.71 -64.

Mchezaji wa Timu ya Usolo Magic akiwa  hewa akiifungia Timu yake katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Mpira wa Kikapu uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar.Timu ya Nyuki imeshiunda mchezo huo kwa Vikapu 71-64.






No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.