Mchezaji wa Timu ya Usolo Magic akiwa hewa akiifungia Timu yake katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Mpira wa Kikapu uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar.Timu ya Nyuki imeshiunda mchezo huo kwa Vikapu 71-64.
Amani, Utulivu na Mshikamano Inatakiwa Iendelee Kudumu Katika Kipindi Chote
Cha Uchaguzi Mkuu Utaofanyika Oktoba 29 Mwaka Huu -Dkt.Samia
-
NA MWANDISHI WETU
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM
Dk.Samia Suluhu Hassan amesema amani, utulivu na mshikamano inat...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment