Mchezaji wa Timu ya Usolo Magic akiwa hewa akiifungia Timu yake katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Mpira wa Kikapu uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar.Timu ya Nyuki imeshiunda mchezo huo kwa Vikapu 71-64.
TANZANIA YAONGEZA KASI KUTOKOMEZA KIFUA KIKUU; WITO WA USHIRIKIANO WATOLEWA
-
Na John Mapepele
Waziri wa Afya, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa amesema Tanzania leo, Machi
24, 2026 imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Sik...
3 hours ago
0 Comments