Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amejumuika
pamoja na waumini wengine wa Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba Jimbo kuu la
Dodoma katika Ibada ya jumapili iliyoongozwa na Paroko wa kanisa hilo Padre Onesmo
Wissi, ambapo Mhe. Rais amewataka Watanzania kutotishwa na ugonjwa Corona na
badala yake wamtangulize Mungu mbele kwa Maombi huku wakizingatia tahadhari
zote za kujikinga na ugonjwa huo. Machi 22, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amejumuika pamoja na waumini wengine wa Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba Jimbo kuu la Dodoma katika Ibada ya jumapili iliyoongozwa na Paroko wa kanisa hilo Padre Onesmo Wissi, ambapo Mhe. Rais amewataka Watanzania kutotishwa na ugonjwa Corona na badala yake wamtangulize Mungu mbele kwa Maombi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa huo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akitakiana amani na waumini wengine wa Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba
Jimbo kuu la Dodoma bila kushikana mikono katika Ibada ya jumapili iliyoongozwa
na Paroko wa kanisa hilo Padre Onesmo Wissi, ambapo Mhe. Rais amewataka
Watanzania kutotishwa na ugonjwa Corona na badala yake wamtangulize Mungu mbele
kwa Maombi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa huo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na waumini wa Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba Jimbo kuu la
Dodoma na Watanzania katika Ibada ya jumapili iliyoongozwa na Paroko wa kanisa
hilo Padre Onesmo Wissi, ambapo Mhe. Rais amewataka Watanzania kutotishwa na
ugonjwa Corona na badala yake wamtangulize Mungu mbele kwa Maombi huku
wakizingatia tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa huo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea
Sakramenti Takatifu, alipoungana na waumini wengine wa Kanisa la Mtakatifu
Paulo wa Msalaba Jimbo kuu la Dodoma katika Ibada ya jumapili iliyoongozwa na
Paroko wa kanisa hilo Padre Onesmo Wissi, ambapo Mhe. Rais amewataka Watanzania
kutotishwa na ugonjwa Corona na badala yake wamtangulize Mungu mbele kwa Maombi
huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa huo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana
na Padre Onesmo Wiss wa Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba Jimbo kuu la
Dodoma bila kushikana mikono wakati wa ibada ya jumapili iliyoongozwa na Paroko
huyo, ambapo Mhe. Rais amewataka Watanzania kutotishwa na ugonjwa Corona na
badala yake wamtangulize Mungu mbele kwa Maombi huku wakizingatia tahadhari
zote za kujikinga na ugonjwa huo.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono
Waumini nje ya Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba Jimbo kuu la Dodoma mara
baada ya ibada ya jumapili iliyoongozwa na Paroko wa kanisa hilo Padre Onesmo
Wissi, ambapo Mhe. Rais amewataka Watanzania kutotishwa na ugonjwa Corona na
badala yake wamtangulize Mungu mbele kwa Maombi huku wakizingatia tahadhari
zote za kujikinga na ugonjwa huo. Machi 22, 2020.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment