Habari za Punde

Kutoka Bungeni Jijini Dodoma.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji, Angellah Kairuki, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 9, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Bungeni jijini Dodoma,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Dkt.Jasmin Tisekwa kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Aprili 9, 2020. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.