Menu

Saturday, May 30, 2020

Cine Afrique kwa wanaoikumbuka

Watoto wakionekana wakiangalia bango la tangazo la sinema hapo Sinema ya Malindi au CineAfrique kama ilivyokuwa ikijulikana enzi hizo. Sh 300 ilikutosha kuona mchezo wa James Bond

No comments:

Post a Comment