Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt.
Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba
Magharibi) kuwa Waziri wa
Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020
Dkt.
Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba
Magharibi) akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa Katiba na Sheria.
Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , , Mei 03, 2020.
No comments:
Post a Comment