Waziri asiyekuwa na Wizara maalum, Mhe Said Soud Said amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wakulima AAFP . Mhe Soud ameahidi kuwanunulia waandishi wa habari bajaj ikiwa atapata urais
TANZANIA, EU NA UNDP KUFANIKISHA UZINDUZI WA MAABARA TANO ZA UPIMAJI UBORA
NA UFANISI WA VIFAA VYA UMEME
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
TANZANIA kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa
(UNDP) na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) wanataraji...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment