Waziri asiyekuwa na Wizara maalum, Mhe Said Soud Said amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wakulima AAFP . Mhe Soud ameahidi kuwanunulia waandishi wa habari bajaj ikiwa atapata urais
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
3 hours ago

0 Comments