Habari za Punde

Mtiania Ugombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC, arudisha fomu baada ya kukamilisha wadhamini

 MTIANIA  Ugombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha  ADC Tanzania  Hamad Rashid Mohamed, akizungumza na wananchi wa tawi la ADC Fimbo jimbo la Kojani Wilaya ya Wete, mara baada ya kurudisha fomu baada ya kudhaminiwa na wanachama wa mikoa mitano ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MITIANIA Ugombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC Tanzania Hamad Rashid Mohamed, akiwaonyesha wananchi wa Tawi la Fimbo  jimbo la Kojani fomu ya udhamini ya wanachama 1000 wa mikoa mitano ya Zanzibar, baada ya kumkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa ADC Zanzibar Said Seif Said .(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.