Habari za Punde

Rais wa Tanzania Mhe,.Dkt.Magufuli Akiwa Njiani Kurudi Jijini Dar es Salaam Akizungumza na Wananchi wa Somanga leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na zawadi yake ya Jogooalilopewa na Shaweji Mohamed Kimbwembwemkazi wa Somanga mkoani Lindi ambaye alifurahishwa na utendaji kazi wa Mhe. Rais Magufuli wa kuwaletea maendeleo Wananchi wanyonge
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Somanga Rehema MikidadiNgenje Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya ukarabati wa Shule hiyo ya Msingi ya Somanga. Katika fedhahizo pia Rais aliagizamwanafunzihuyoapewe Shilingi laki moja kutoka kwenye fedhahizo mara baada ya kuibua kero ya Shule hiyo.
Wananchi wa Nangulukulu wakishangilia wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza nao wakati akitokea Masasi leo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.