Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika kisomo cha dua kumuombea Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya, kilichofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi "A" Unguja na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Alhajj Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika kisomo cha dua kumuombea Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya, kilichofanyika katika Msikiti wa Ujumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi "A" Ungujana (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Alhajj Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali.
WAUMINI
wa Dini ya Kiislam wakishiriki katika kisomo cha hitma kumuombea dua Marehemu
Haji Nassib Haji Nyanya kilichofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya
ya Magharibi “A” Unguja
WAUMINI
wa Dini ya Kiislam wakishiriki katika kisomo cha hitma kumuombea dua Marehemu
Haji Nassib Haji Nyanya kilichofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya
ya Magharibi “A” Unguja
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj .Dk. Ali Mohamed Shein
akiitikia dua ya kuhitimisha kisomo cha hitma ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa
Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (kushoto kwa Rais) na (kulia kwa Rais)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, dua hiyo
imefanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.
WAUMINI
wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua ya kumuombea Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya
iliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja,
ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (hayupo
pichani)
WAUMINI
wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua ya kumuombea Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya
iliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja,
ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (hayupo
pichani)
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua ya kumuombea Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya iliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (hayupo pichani)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj .Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na kuagana na Waumini wa Dini ya Kiislam baada ya kumalizika kwa
kisoma cha dua kumuombea Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya, kilichofanyika
katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj .Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Waumini wa Dini ya Kiislam baada ya kumalizika kwa kisoma cha dua kumuombea Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya, kilichofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.
No comments:
Post a Comment