Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein Amezungumza na Uongozi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar, katika Kikao cha kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kilichofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Mhe. Mmanga Mjengo Mjawiri
WAZIRI wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Mmanga Mjengo Mjawiri akiwasilisha muktasari wa Ripoti ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kilichofanyika Ikulu Jijini Zanzibar  na (kulia kwake) Naibu Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Dkt. Makame Ali
KATIBU Mkuu Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar. Bi. Maryam Juma Sadala (Mabodi) akiwasilisha Ripoti ya Utekelezaji Mpango Kazi kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, kikiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
MKURUGENZI Idara ya Uvuvi Zanzibar Ndg. Mussa Aboud Jumbe akitowa ufafanuzi wakati wa Kikao cha Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kilichofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
MKURUGENZI Idara ya Uvuvi Zanzibar Ndg. Mussa Aboud Jumbe akitowa ufafanuzi wakati wa Kikao cha Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kilichofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

MKURUGENZI Mkuu Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar Dr.Suleiman Shehe Mohammed akizungumza wakati wa Kikao cha Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar, kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kikiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akiwa ameshika kitabu cha “Ripoti ya Utafiti wa Kilimo kwa mwaka 2019” 
KATIBU wa Baraza la Mapinduzi pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee, akiuliza swali wakati wa Kikao cha mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar, kwa mwaka wa fedha 2020/2021,Kikaio hicho kikiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na (kulia kwa Katibu Kiongozi) Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Mhe. Mmanga Mjengo Mjawiri

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.