Mradi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Ujenzi wa Jengo la Maduka ya Kisasa la Thabit Kombo Michezani Jijini Zanzibar likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi huo katika eneo la michezani Kisonge kama linavyoonekana pichani.
TRA PWANI YAKAMATA BIDHAA ZA MAGENDO BANDARI YA BAGAMOYO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imekamata bidhaa mbalimbali
za magendo katika Wilaya ya Bagamoyo ikiwemo viroba 50 vya mchele, madumu
10 ya ...
3 hours ago
0 Comments